27.03.2022Tanzania, Shinyanga

Esis Institute of Shinyanga March Intake

Negotiable

Description

Tunatangaza nafasi za kujiunga na Chuo cha wabobezi wa sekta ya madini, mafuta na gesi asilia, kwa mwaka wa masomo 2021/2022, Mwisho wa kutuma maombi ni 30 Machi 2022 na ada ni 50% ya inayoonekana kwenye website yetu :www.esis.ac.tz. Chuo kimesajiliwa kwa Registration Number REG/EOS/041

Mathias Athanas

Member since 2021.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Shinyanga