Description
inatumia umeme wa nyumbani, inasaga mpaka kilo 20 kwa dakika 15. ya kubebeka(portable), haitumii umeme kwa hasara. kama unawasagia watu kilo moja kwa tsh 300 mpka unit moja inaisha utakuwa umepata tsh 7000, unit Tanesco wanauza tsh 400, kumbe kwa unit unapata faida ya 6600. ata ukisagia tsh 200 bado utapata faida tu. inasaga karanga laini sana. unaweza kuitumia kusagia wateja au ata kusaga kwa kupack. tuwasiliane kwa simu namba 0683628498. kwa video na maelezo zaidi tembelea tiktok: @tumbo51