Description
Ni mashine inayotumia umeme wa nyumbani, ina mota horse power 3, high speed, ukiwa na hii mashine unaweza wasagia wateja na au kusaga kwa ajili ya kuuza, au ukafanya vyote. Unga wa karanga mbichi unasoko sana bukoba na maeneo yake, dar es Salaam, Morogoro, moshi na maeneo yake na Arusha. soko ni kubwa sana. kwa wahitaji piga sim 0683628498 kwa maelezo zaidi na hatua zaidi. unaweza twmbelea, Facebook: T.G.M designer, au tiktok: @tumbo51 au blog yetu tumbomakufuli.blogspot.com, ujue zaidi