04.04.2024Mwanza

MASHINE KUSAGA KARANGA MBICHI

TZS 1 600 000

Description

Ni mashine inayotumia umeme wa nyumbani, ina mota horse power 3, high speed, ukiwa na hii mashine unaweza wasagia wateja na au kusaga kwa ajili ya kuuza, au ukafanya vyote. Unga wa karanga mbichi unasoko sana bukoba na maeneo yake, dar es Salaam, Morogoro, moshi na maeneo yake na Arusha. soko ni kubwa sana. kwa wahitaji piga sim 0683628498 kwa maelezo zaidi na hatua zaidi. unaweza twmbelea, Facebook: T.G.M designer, au tiktok: @tumbo51 au blog yetu tumbomakufuli.blogspot.com, ujue zaidi

Kabona

Member since 2016.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Mwanza