Description
Nyumba ipo Mombasa Moshi Bar ni nyumba ya kisasa kabisa ina vyumba vitatu vya kulala ikiwemo master bedroom moja ina jiko Dina na seeting room kubwa ina uwanja wa kutosha kupaki magari yako bei ni milioni 55 ukubwa wa kiwanja ni SQM kwa maelezo zaidi tupigie simu 0653204486 au 0687034948