18.01.2023Dar es Salaam

Nyumba Inauzwa Mombasa Moshi B

TZS 55 000 000

Description

Nyumba ipo Mombasa Moshi Bar ni nyumba ya kisasa kabisa ina vyumba vitatu vya kulala ikiwemo master bedroom moja ina jiko Dina na seeting room kubwa ina uwanja wa kutosha kupaki magari yako bei ni milioni 55 ukubwa wa kiwanja ni SQM kwa maelezo zaidi tupigie simu 0653204486 au 0687034948

John

Member since 2022.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Dar es Salaam