19.05.2022Tanzania, Tanzania

NYUMBA INAUZWA BUNJU A

TZS 27 000 000

Description

+Nyumba inauzwa Bunju A mtaa wa kinondo. +Nyumba ina umeme na maji ya Dawasa +imezungushiwa fensi +eneo kubwa sana unaweza kujenga nyumba nyingine ndogo +2 bedrooms, sittingroom, kitchen, dinning +Bado finishing ndogondogo tu. +Maelewano yapo.

Juniour

Member since 2020.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Tanzania