26.03.2022Tanzania, Dar es Salaam

MAJIKO MAKUBWA

TZS 3 000 000

Condition:

NEW

Description

tunatengeneza Majiko sanifu yanayo Tumia kuni chache kuivisha chakula kingi Kwa wakati mmoja hayana Moshi ndani ya eneo la kupikia popote ulipo tunakuja kukujengea mashuleni hata majumbani karibu Sana tukuhudumie wasiliana nami

Fundi J. M.

Member since 2022.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Dar es Salaam