Details
Description
Hoteli inauzwa Dodoma, area e karibu na nyumbani kwa Waziri Mkuu. Hoteli inaitwa munange, ni hoteli ya chini sio Ghorofa. Hoteli ina vyumba 18 na restaurant yenye vifaa vyote. Ukubwa wa Eneo: Sqm 1080 Nyaraka: Hati Miliki Bei: Bilioni 1, Maongezi yapo. Gharama ya kwenda site ni sh 100,000/= Mawasiliano 0767 833345 0784 829565