25.04.2025Dar es Salaam

GUESTHOUSE, ROOM 10 MBEZI MSGL

TZS 180 000 000

Details

Terms
Monthly in advance
Price per square unit
No
Square units
500 m2

Description

Hii ni nyumba ya Biashara ya Kulala Wageni (LODGE) Ipo umbali wa mita 300 tu kutoka Barabara ya Morogoro., MBEZI KWA MSUGULI. Ina jumla ya vyumba 10 vya kulala ambapo kila kimoja kina Choo chake ndani. Ndani ya Fensi kwa usalama. __________ ANGALIZO: Malipo ya Dalali ni 10% Kuona ni Tshs.50,000. (Unalipa wewe MNUNUZI) Tafadhali Wasiliana nami iwapo tu unaridhia taratibu zangu. _________mpg Ukihitaji kukagua taarifa mapema tafadhali.

Dalalitz G.

Member since 2024.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Dar es Salaam