13.10.2019Tanzania, Dar Es Salaam

Incubator ya solar na umeme ya mayai 36

TZS 200 000

Condition:

NEW

Description

Ni rafiki sana kwa mazingira yasiyo na umeme wa uhakika Inatumia umeme kidogo sana 35W sawa na unit 0.84 kwa siku. Ni full automatic na inageuza mayai yenyewe Inatumia sola, betri ya 12v au umeme wa kawaida. Inachukua mayai 36 ya kuku. Totolesha mayai ya kuku, bata, kanga, njiwa, kware nk Ina ufanisi wa asilimia 95% Tupo mkabala na shule ya Yusuf Makamba barabara ya Jeshini ukitokea Ubungo external kuelekea Tabata Kimanga

Ethan Ngowi

Member since 2015.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Dar Es Salaam