19.04.2019Tanzania, Dar Es Salaam

Egg Incubator ya Mayai 64

TZS 380 000

Description

Mashine mpya za kisasa za teknolojia ya hali ya juu. Trei za droo ambazo ni rahisi kuweka na kutoa mayai/vifaranga. Inatumia sola, umeme, au betri ya 12V Inatumia umeme 80watts Incubator ya mayai 64. Totolesha mayai ya kuku, bata, bata mzinga, njiwa, kware, kanga, nk Ina ufanisi wa zaidi ya 98% Inafaaa sana kwa sehemu ambazo bado hazijafikiwa na umeme wa tanesco. Inageuza Mayai yenyewe kila baada ya dkk 120 Pia utapata ofa kifaa maalum cha kuongeza unyevu(Ultrasonic Humidifier). Warranty ni miezi sita. Tupo mkabala na shule ya msingi Makuburi Jeshini barabara ya kwenda Tabata kimanga ukitokea Ubungo External karibu na Corner Lounge baa

Ethan Ngowi

Member since 2015.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Dar Es Salaam