28.06.2022Njombe

Shamba linauzwa

TZS 150 000

Description

shamba linauzwa lipo Kijiji Cha mfriga ktk kata ya mfriga tarafa ya lupembe mkoani njombe Lina ukubwa wa eka 50 kila eka ni tsh laki moja na Elfu hamsini(150,000/=) linafaa kwa kilimo Cha parachichi, miti ya mbao na mazao mengine maji ya mto yapo karibu kwa mawasiliano zaidi nipigie 0711605570 au 0764426929

INNOCENT G.

Member since 2022.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Njombe