Details
Description
⚫Bei yetu ni 37,000 kwa square meter moja. ⚫Viwanja vipo karibu na shule ya Atlas ⚫Viwanja vipo umbali wa Kilometre 1.5 kutoka barabara ya Goba Madale ⚫Huduma zote za kijamii zipo site ⚫Viwanja vimepimwa na vina hati ⚫Wahi sasa maana vimebaki vichache ⚫Malipo ni cash au kwa awamu ⚫Tuna miradi mingine ya Viwanja maeneo ya Bunju Mji mpya, Misugusugu Kibaha,Pangani Kibaha, Mapinga Bagamoyo, Vikawe Baobab...Kisota Kigamboni, Cheka Kigamboni, Mbutu Beach Plot Kigamboni, Chekeni Mwasonga na Dodoma pia