12.08.2022Dar es Salaam

NYUMBA INAUZWA BUNJU A

TZS 25 000 000

Details

Terms
Monthly in advance

Description

Nyumba ipo Bunju A Shule mtaa wa mji mpya. Vyumba viwili vya kulala kimoja master public toilet, jiko, stoo, dinning, sebule imezungushiwa fensi umeme na maji ya dawasa. gari inafika wakati wote. 2istalment payment accepted / malipo ya awamu mbili yanakubalika kwa makubaliano. nicheki kwa maongezi au maelezo zaidi. 0714982976.

Juniour

Member since 2020.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Dar es Salaam