Details
Description
Tunauza Fleti yetu mpya ndanya jengo la kisasa kabisa Kariakoo. vyumba 3 moja wapo Mastaa kamili. Tunauza "FULL FURNISHED" maana yake lipa leo leo na kuweza kuihamia leo leo na nguo zako tu. lipa CASH milioni shilingi 225 au unaweza lipa 50% leo tukupe ufunguo na balansi lipa ndanya mwaka mmoja! kweli tayari kuja leo kuiona na kuinunua fleti yetu? wasiliana na ABM&CO. REAL ESTATE SERVICES Instagram fb @ abmcorealestate WhatsApp+255693167165 mobile +255784747412 leo ++++++