Description
Changamoto zakukatika umeme mara kwa mara zimekua kubwa kwa sasa...haswa kipindi hichi cha mgao ..Hivyo, Jipatie USED Generator Dogo la KINGMAX ambalo utaweza kuwasha vitu vifuatavyo vya LAZIMA endapo umeme ukikatika...*Taa*Feni*Kuchaji simu nk.Generator lina specification zifuatazo;* 3800 dx*3.4 hp*Spe 80*1.5 kva*2phase.NIPO TEMEKE SUDAN DAR ES SALAAAM...AU NIPIGIE 0654 098 281