30.04.2024Dar es Salaam

Mashamba mazuri Fukayosi Bagam

TZS 1 500 000

Description

Tunauza mashamba yaliyopimwa fukayosi bagamoyo eneo linafikika kwa urahisi. Ardhi yake ni nzuri sana na inarutuba nzuri pia inaotesha mazao ya aina zote Kutembea site zetu ni kila siku za jumatano, jumamos na jumapili Karibuni sana wateja tuwekeze kwenye Ardhi hasa mashamba Shamba lako ni hati yako Pindi tu utakapo maliza malipo ya shamba lako utapatiwa hati miliki ya shamba lako. Malipo yake ni kwa Cash au unalipa (Tsh 300,000) Kila mwezi kwa miezi 6 sim & Whatsapp 0659 791453 0754 295014

Majaliwa

Member since 2020.
xxx xxx xxx xxx

User

Location

Dar es Salaam